Mtoto
Halaika Bushiri ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi Mwanyanje iliyopo kata
ya Igawilo mjini Mbeya amefariki dunia
baada ya kuteketea kwa moto akiwa nyumbani kwao
Kamanda
wa polisi mkoani Mbeya Diwani Athuman amesema tukio hilo lililotokea wakati mama wa mtoto Nuru Mlele akiwa kwenye shughuli zake
Amesema
chanzo cha moto huo uliounguza nyumba na vitu vilivyokuwemo ndani yake bado
hakijafahamika na kwamba uchunguzi zaidi unaendelea
No comments:
Post a Comment