Karibu katika blog yetu

Wednesday, January 30, 2013

Balloteli arudi nyumbani




Mshambuliaji wa Italia Mario balloteli anatarajia kukamilisha taratibu zote za usajili za kujiunga na klabu ya Ac Milan ya Italia akitokea Manchester City ambako ameshindwa kuelewana na kocha wa klabu hiyo Roberto Mancini.

Kusajiliwa kwa Balloteli na Milan kumepokelewa kwa furaha na wachezaji wa zamani wa Milan Zlatan Ibrahimovic na Thiago Silva ambao wanaamini kuwa Balloteli atasaidia kuipa matokeo mazuri Rosseneri.

No comments:

Post a Comment