Mshambuliaji wa Italia Mario balloteli anatarajia
kukamilisha taratibu zote za usajili za kujiunga na klabu ya Ac Milan ya Italia
akitokea Manchester City ambako ameshindwa kuelewana na kocha wa klabu hiyo
Roberto Mancini.
Kusajiliwa kwa Balloteli na Milan kumepokelewa kwa
furaha na wachezaji wa zamani wa Milan Zlatan Ibrahimovic na Thiago Silva ambao
wanaamini kuwa Balloteli atasaidia kuipa matokeo mazuri Rosseneri.
No comments:
Post a Comment