Karibu katika blog yetu

Thursday, July 25, 2013

KAMERA YETU

Mkulima katika kijiji cha Chiwerere mkoani Lindi akipiga piga mahindi baada ya kuvuna

Binti akiweka mahindi sehemu nzuri baada ya kuyavuna katika kijiji cha Chiwerere Lindi

Daladala kutoka kijiji cha Kijiweni mpaka Lindi

Mvuvi katika kijiji cha Kijiweni, Lindi

Kijiji cha Tchezema kilichopo Mvomero mkoano Morogoro

No comments:

Post a Comment