![]() |
Rais wa CAF Issa Hayatou. |
Hayatou amesema kuwa anaheshimu sana jitihada za baraza hili na ndio maana alikubali mwaliko wa kushuhudia ufunguzi wa fainali za michuano hii licha ya kuwa na shughuli nyingine muhimu.
Ameyataka mashirikisho mengine kuiga mfano wa CECAFA katika kuhakikisha maendeleo yanakuza maendeleo ya soka katika kanda zao.
No comments:
Post a Comment