Ubalozi wa Marekani jijini Ankara nchini Uturuki umelipuliwa
bomu la kujitoa mhanga na kusababisha mlinzi wa ubalozi huo kupoteza maisha
pamoja na aliyejitoa mhanga.
Ripoti zaidi katika tukio inaeleza kuwa bomu hilo
halijasababisha madhara makubwa ndani ya jengo kama ilivyokuwa nje.
Mwandishi wa habari wa AP amesema kuwa alimuona mwanamke
mmoja eneo la ubalozi huo akiwa amejeruhiwa vibaya mara baada ya tukio hilo.
No comments:
Post a Comment