Shirika la viwango nchini TBS limesema kuwa kwa sasa halina teknolojia inayowawezesha wataalamu wake kubaini simu zisizo na viwango ama feki.
Afisa uhusiano wa TBS, Bi Roida Andusanile akiongea na Mlimani TV amewataka wananchi kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho shirika lake linajipanga kuhakikisha inapata teknolojia hiyo ili kudhibiti uingizwaji wa simu hizo ambao umekuwa ukiongezeka kwa kasi katika maeoneo mengi nchini hususa katika jiji la Dar es Salaam.
Anuary Mkama.
No comments:
Post a Comment